Tupo Dar es salaam Tegeta Wazohill | Posta | Bagamoyo +255 712 253 102


Mifugo Tanzania

POWER TILLER | MASHINE ZA KULIMIA SHAMBA KWA URAHISI NA HARAKA | PETROL & DIESEL πŸ”₯

SIMU: +255 712 253 102 (WhatsApp) +255 692 430 263

@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @mabandayamifugo @joackmachinery @joackagrovet @joackanimalclinic @joackbagamoyo @joackanimalfeeds

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

JOACK COMPANY LTD tunakuletea Mini Power Tiller zenye ubora wa hali ya juu kwa ajili ya kulima mashamba kwa haraka na ufanisi mkubwa.

POWER TILLER ni mashine bora kwa wakulima wa kisasa. Inafaa kwa kulima mashamba ya mpunga, mahindi, mboga mboga na mazao mengine mbalimbali.

βœ… Inafaa kwa mashamba makubwa na madogo βœ… Hupunguza gharama za kulima kwa mikono βœ… Huokoa muda na nguvu kazi βœ… Rahisi kutumia na kutunza

πŸ”§ TUNAZO KUANZIA HP 7 HADI HP 15

πŸ’° BRANDS ZINAZOPATIKANA:

β€’ Min Power Tiller – TZS 3,000,000 β€’ Kubota Original – TZS 11,000,000 β€’ Toyo – TZS 7,000,000 β€’ Boer – TZS 7,000,000 β€’ Kobuta – TZS 7,000,000 β€’ Amec – TZS 8,000,000

πŸ› οΈ NB: Jembe la kulimia (Tiller) linauzwa tofauti na Power Tiller.

πŸ‘‰ Bei ya Tiller ni TZS 2,000,000

HUDUMA ZETU

β€’ Tunatuma mizigo mikoa yote Tanzania β€’ Ushauri wa kitaalamu bure β€’ Mashine zenye ubora wa juu

TUNAPATIKANA

1. Wazohill - Dar es Salaam Tegeta Wazohill Barabara ya Wazo, karibu na kanisa la KKKT

2. Bagamoyo - Pwani Kiromo shule, Bagamoyo Pwani

3. Posta - Dar es Salaam Matasalamat Building, NHC Samora Avenue 2nd Floor

SIMU: +255 712 253 102 (WhatsApp) +255 692 430 263

EMAIL: info@joack.co.tz

YouTube: https://youtu.be/UxLyLqHtfnw

Website link: joack.co.tz/

JOACK COMPANY LTD

Your Trusted Partner in Agriculture & Livestock Solutions

#PowerTiller #MiniPowerTiller #MashineZaShamba #KilimoChaKisasa #Kubota #Amec #Boer #JoackMachinery #KilimoTZ #MkulimaTanzania 🚜🌾πŸ”₯

2 days ago | [YT] | 0

Mifugo Tanzania

MASHINE YA KUPANDA MICHE YA MPUNGA | (RICE TRANSPLANTER)

SIMU:
+255 712 253 102 (WhatsApp)
+255 692 430 263

@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @joackbagamoyo @joackagrovet @joackanimalclinic @joackmachinery @joackanimalfeeds

πŸ•– Muda wa kazi:
Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku
(7:00am - 11:00pm)

JOACK tunauza za kupanda miche ya mpunga zenye uwezo wa kupanda mistari mingi kwa wakati mmoja, hivyo kuokoa muda na nguvu kazi shambani.

TUNAZO AINA MBALIMBALI:
βœ”οΈ Mashine ya mistari 2 = Tsh 650,000/=
βœ”οΈ Mashine ya mistari 4
βœ”οΈ Mashine ya mistari 6

SIFA ZA MASHINE
β€’ Hupanda miche kwa mistari iliyo sawa
β€’ Huongeza kasi ya upandaji
β€’ Huokoa muda na gharama za vibarua
β€’ Rahisi kutumia
β€’ Inafaa kwa wakulima wa kisasa

INAFAA KWA:
β€’ Mashamba ya mpunga
β€’ Vikundi vya wakulima
β€’ Biashara za huduma za kilimo
β€’ Mashamba madogo na makubwa

FAIDA ZA KUTUMIA
βœ… Upandaji wa haraka na wenye mpangilio
βœ… Huongeza tija shambani
βœ… Hupunguza matumizi ya nguvu kazi
βœ… Husaidia kupata spacing nzuri ya miche

KWA NINI UCHAGUE JOACK?
βœ… Mashine bora na imara
βœ… Ushauri wa kitaalamu bure
βœ… Bei rafiki
βœ… Tunatuma mizigo nchi nzima
βœ… Huduma ya haraka na uhakika

TUNAPATIKANA

1. Wazohill - Dar es Salaam
Tegeta Wazohill Barabara ya Wazo, karibu na kanisa la KKKT

2. Bagamoyo - Pwani
Kiromo shule, Bagamoyo Pwani

3. Posta - Dar es Salaam
Matasalamat Building, NHC Samora Avenue 2nd Floor

EMAIL:
info@joack.co.tz

Website:
joack.co.tz/

JOACK COMPANY LTD
Your Trusted Partner in Agriculture & Livestock Solutions

#ricetransplanter #mashineyakupandampunga #mpunga #kilimochakisasa #mashinezakilimo kilimo agribusiness joackcompany tanzania

3 days ago | [YT] | 1

Mifugo Tanzania

MASHINE YA KUKATIA NYASI NA MASHINE YA KUPALILIA MASHAMBA | BRUSH CUTTER MACHINE

Call/Text/WhatsApp: +255 712 25 31 02

PRICE Bei ni
4 STROKE 400,000/= BIG DISCOUNT
2 STROKE 350,000/= BIG DISCOUNT mgongoni
2 STROKE 300,000/= BIG DISCOUNT begani
Brush cutter ya kuchaji ni 160,000/=

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo

BRUSH CUTTER hizi ni mashine (portable) zinazotumika kukatia nyasi, kupalilia na kukata miti.

Mashine hii moja inaweza kufanya kazi zaidi ya moja, kazi ambazo hii mashine inafanya ni:-
1. Kukata nyasi - kufyeka
2. Kukuta miti kama Chain Saw
3. Kupalilia
4. Kufyeka vichaka vikubwa.
5. Kuvunia mpunga
6. Kuvuta maji kama water pump
7. Kulimia kama powertiller ndogo, nk

Hizi Brush cutter zipo za two stroke na four stroke, hizo ni aina za injini na mfumo wake.

Mashine zinatumia mafuta kidogo sana kwa saa, hivyo lita 1 ya mafuta unaweza kutumia kukata nyasi katika eneo kubwa.

Faida ya hizi mashine ni kwamba inaokoa muda wa kufanya kazi, lakini pia inapunguza gharama za uendeshaji badala ya kulipa watu wengi kusafisha eneo hii mashine moja na mtu mmoja inatosha.

Maeneo mengi ya jeshini na makampuni yaliochukua tenda ya kufyeka nyasi za barabarani hutumia aina hii ya mashine, wengi wamenunua hizi mashine hapa kwetu JOACK Company LTD.

#mashine #mashineyakukatianyasi #grasscutter #kukatanyasi #mashinezakupalilia maguu mashineyakutoamagugu mashineyakukatanyasi grasscuttingmachine kukatanyasi mashineyakufyekeanyasi BRUSHCUTTER mashineyakukatamajani kufyekamajani mashineyakufyekea weedingmachine weedremover Portableweedremover

Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 712 25 31 02(WhatsApp)
+255 692 43 02 63

Email:
info@joack.co.tz

YouTube: lnkd.in/gJb5rcw

joackcompany fourstrokebrushcutters twostroke fourstroke twostrokebrushcutters tanzania daressalaam tanzania arusha dodoma tanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

JOACK Company LTD | DSM & BAGAMOYO

4 days ago | [YT] | 0

Mifugo Tanzania

TUNAUZA WATER SPRINKLER | VIFAA VYA KUMWAGILIA MAJI | VIFAA VYA KURUSHA MAJI | VIFAA VYA UMWAGILIAJI

Hii sprinkler inauwezo wa kurusha maji mita 40

Call/Text/WhatsApp: +255 712 25 31 02

@joackcompany @mifugo_tz @kilimo_tz @afyakiganjani @joackagrovet @joackanimalclinic @joackbagamoyo @joackagrovet

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar salaam na Bagamoyo

WATER SPRINKLER ni kifaa maalumu chenye uwezo wa kurusha maji katika mtindo wa matone matone.

Vifaa hivi vinatumika katikati shughuli mbalimbali za uwagiliaji wa mimea kwenye kilimo na majumbani.

Watu wenye bustani/garden za majani au maua majumbani wanapenda sana kutumia hivi vifaa kwajili ya kurahisisha kazi ya uwagiliaji.

Ukiwa na sprinklers huna haja ya kuajiri watu wengi kwajili ya kuwamwagilia bustani au mimea yako.

Faida ya hivi vifaa ni kwamba vinarahisha sana kazi lakini kubwa zaidi vinaokoa gharama.

Faida nyingine ni kwamba vifaa hivi vinapunguza upotevu wa maji usio na msingi, ni tofauti kama ytatumia mpira tu, maji mengi hupotea.

JOACK Company LTD tunauza sprinklers za aina mbalimbali na zenye uwezo tofauti tofauti.

#watersprinkler #vifaavyakumwagiliamaji #vifaavyakurushamaji #vifaavyaumwagiliaji #umwagiliaji #kifaachakumwagilia #splinkler #kumwagilia #kilimochaumwagiliaji #irrigation #sprinklerirrigation #mifumoyaumwagiliaji

Office zetu zipo @TegetaWazohill ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 712 25 31 02(WhatsApp)
+255 692 43 02 63

Email:
info@joack.co.tz

YouTube: https://youtu.be/UxLyLqHtfnw

Website link: joack.co.tz/

Google location: maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9

#joackcompany #micheyamipera #micheyapapai #maembe #limao #ndimu #kilimotz #tunauzamiche #migomba #ndizi #komamanga #dodoma #tanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ #tanzania #mbogamboga #bustani #garden

JOACK Company LTD | DSM & Bagamoyo

1 week ago | [YT] | 6

Mifugo Tanzania

MASHINE ZA KUCHAKATA MAJANI | GRASS CHOPPING MACHINE | CHAFF CUTTER

Call/Text/WhatsApp: +255 712 25 31 02

Follow Us;
@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @joackagrovet @joackanimalclinic @joackbagamoyo @joackmachinery @mabandayamifugo

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill- DSM na Bagamoyo.

Zipo mashine zinazotumia: UMEME, PETROL NA DIESEL.

Zipo za zinazoweza kuchakata majani Kuanzia;
1TONE HADI 6TOND KWA LISAA.
KILO 1 000 HADI 6,000 KWA LISAA.

BEI NI KUANZIA 1,500,000/= TU

GRASS CHOPPING MAHINE ni mashine zinazo tumika kuchakata (kukatakata) majani kwajili ya mifugo hasa ng'ombe.

Hizi mashine zinauwezo wa kukatakata majani marefu na pana ili kuwa vipande vidogo vidogo kama chips.

Faida za kuchakata majani kuwa katika vipande vidogo ni nyingi sana, ambazo ni kama;
1. Husaidia umeng'enywajwi wa chakula kwa haraka.
2. Unawaza kuchanganya majani na molasses ya maji kwa hurahisi.
3. Ng'ombe hula majani ya kutosha maana hatumii muda mwingi kutafuna.
4. Yanaongeza ukuaji na uzalishaji wa maziwa.

Mashine hizi zinapatikana JOACK Company LTD, na kwa wateja wa mikoani mzigo unatumiwa mpaka mahali ulipo.

#mashine #majaniyangombe #mashineyakuchakatamajani #kukatakatamajani #ngombewamaziwa

Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa

Simu:
+255 712 25 31 02 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63

Email:
info@joack.co.tz

JOACK Company LTD | DSM & Bagamoyo

1 week ago | [YT] | 6

Mifugo Tanzania

🐟πŸ₯© MASHINE YA KUKATA NYAMA NA SAMAKI | CAPITAL MEAT SAW MACHINE πŸ”₯

SIMU: +255 712 253 102 (WhatsApp) +255 692 430 263

@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @mabandayamifugo @joackmachinery @joackagrovet @joackbagamoyo @joackanimalclinic @joackanimalfeeds

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

JOACK COMPANY LTD tunakuletea Mashine ya Kukata Nyama na Samaki (Meat Saw Machine) aina ya CAPITAL yenye nguvu kubwa kwa matumizi ya butcheries, viwanda vya nyama na biashara za samaki.

SIFA ZA MASHINE

β€’ Brand: CAPITAL

β€’ Power: 8000 Watts

β€’ Hukata nyama kwa haraka na usahihi

β€’ Hukata samaki wakubwa kwa urahisi

β€’ Imara na hudumu muda mrefu

β€’ Rahisi kutumia na kusafisha

INAFAA KWA

β€’ Butcheries

β€’ Machinjio

β€’ Viwanda vya kusindika nyama

β€’ Biashara za samaki

β€’ Hoteli na migahawa

FAIDA ZA KUTUMIA

β€’ Huongeza kasi ya kazi

β€’ Hupunguza matumizi ya nguvu kazi

β€’ Hukata kwa usahihi mkubwa

β€’ Huongeza ufanisi wa biashara

β€’ Inafaa kwa matumizi ya muda mrefu

HUDUMA ZETU

β€’ Tunatuma mizigo ya wateja wetu nchi nzima Tanzania

β€’ Ushauri wa kitaalamu bure

β€’ Bidhaa zenye ubora wa juu

TUNAPATIKANA

πŸ“ Wazohill - Dar es Salaam Tegeta Wazohill Barabara ya Wazo, karibu na kanisa la KKKT

πŸ“ Bagamoyo - Pwani Kiromo shule, Bagamoyo Pwani

πŸ“ Posta - Dar es Salaam Matasalamat Building, NHC Samora Avenue 2nd Floor

EMAIL: info@joack.co.tz

Website: joack.co.tz/

JOACK COMPANY LTD

Your Trusted Partner in Agriculture & Livestock Solutions

#MashineYaKukataNyama #MashineYaKukataSamaki #MeatSawMachine #ButcheryEquipment #FoodProcessing JoackMachinery KilimoTZ BiasharaTZ MachineryTanzania :::

1 week ago | [YT] | 2

Mifugo Tanzania

πŸ’¨ FOGGING MACHINE | MASHINE YA KUPULIZIA DAWA KWA UKUNGU πŸ”₯

SIMU: +255 712 253 102 (WhatsApp) +255 692 430 263

@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @mabandayamifugo @joackmachinery @joackagrovet @joackbagamoyo @joackanimalclinic @joackanimalfeeds

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

JOACK COMPANY LTD tunakuletea Fogging Machine ya kisasa kwa ajili ya kupulizia dawa kwa njia ya ukungu (mist/fog) kwa ufanisi mkubwa.

SIFA ZA MASHINE

β€’ Hutoa ukungu laini wa dawa (fog/mist)
β€’ Hufika maeneo yote kwa urahisi
β€’ Matumizi madogo ya dawa
β€’ Nguvu kubwa ya usambazaji
β€’ Rahisi kutumia na kubeba

INAFAA KWA

β€’ Kudhibiti mbu na wadudu
β€’ Mabanda ya kuku na mifugo
β€’ Mashamba
β€’ Viwandani na maghala
β€’ Hospitali na maeneo ya umma
β€’ Usafi wa mazingira

FAIDA ZA KUTUMIA

β€’ Huua wadudu kwa ufanisi mkubwa
β€’ Huokoa muda na matumizi ya dawa
β€’ Hufikia maeneo magumu kufikiwa
β€’ Huongeza usafi na usalama wa mazingira
β€’ Inafaa kwa matumizi ya biashara na taasisi

HUDUMA ZETU

β€’ Tunatuma mizigo ya wateja wetu nchi nzima Tanzania
β€’ Ushauri wa kitaalamu bure
β€’ Bidhaa zenye ubora wa juu

TUNAPATIKANA

Wazohill - Dar es Salaam
Tegeta Wazohill Barabara ya Wazo, karibu na kanisa la KKKT

Bagamoyo - Pwani
Kiromo shule, Bagamoyo Pwani

Posta - Dar es Salaam
Matasalamat Building, NHC Samora Avenue 2nd Floor

EMAIL: info@joack.co.tz

Website link: joack.co.tz/

JOACK COMPANY LTD

Your Trusted Partner in Agriculture & Livestock Solutions

#FoggingMachine #DawaZaWadudu #KilimoChaKisasa #UfugajiWaKisasa #PestControl JoackCompany KilimoTZ MifugoTZ UsafiWaMazingira WakulimaWaTanzania KilimoBora UfugajiBora TeknolojiaYaKilimo

1 week ago | [YT] | 2

Mifugo Tanzania

πŸ”„ TURNER MOTOR 18W | MOTOR YA KUGEUZA MAYAI KWENYE INCUBATOR πŸ”₯

SIMU: +255 712 253 102 (WhatsApp) +255 692 430 263

@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @mabandayamifugo @joackmachinery @joackagrovet @joackbagamoyo @joackanimalclinic @joackanimalfeeds

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

JOACK COMPANY LTD tunakuletea Turner Motor 18W yenye ubora wa hali ya juu kwa ajili ya kuzungusha mayai kwenye incubator kwa usahihi na ufanisi mkubwa.

SIFA ZA BIDHAA

β€’ Power: 18W β€’ Inazungusha mayai kwa ufanisi β€’ Matumizi madogo ya umeme β€’ Imara na hudumu muda mrefu β€’ Rahisi kufunga kwenye incubator β€’ Inafaa kwa incubator za aina mbalimbali

FAIDA ZA KUTUMIA

β€’ Husaidia kuongeza kiwango cha utotoleshaji β€’ Hupunguza kazi ya kugeuza mayai kwa mikono β€’ Huongeza ufanisi wa incubator β€’ Hufanya kazi kwa utulivu na uhakika

INAFAA KWA

β€’ Incubator za mayai ya kuku β€’ Incubator za bata β€’ Incubator za kware β€’ Incubator za ndege mbalimbali

HUDUMA ZETU

β€’ Tunatuma mizigo ya wateja wetu nchi nzima Tanzania β€’ Ushauri wa kitaalamu bure β€’ Bidhaa zenye ubora wa juu

TUNAPATIKANA

Wazohill - Dar es Salaam
Tegeta Wazohill Barabara ya Wazo, karibu na kanisa la KKKT

Bagamoyo - Pwani
Kiromo shule, Bagamoyo Pwani

Posta - Dar es Salaam
Matasalamat Building, NHC Samora Avenue 2nd Floor

EMAIL: info@joack.co.tz

Website link: joack.co.tz/

JOACK COMPANY LTD

Your Trusted Partner in Agriculture & Livestock Solutions

#TurnerMotor #IncubatorParts #MashineYaKutotoleshaMayai #UfugajiWaKuku #KukuWaKisasa #JoackCompany #JoackMachinery #KilimoTZ #MifugoTZ

1 week ago | [YT] | 0

Mifugo Tanzania

TUNAUZA MAIZE SHELLER MACHINE | MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI

SIMU:
+255 712 253 102 (WhatsApp)
+255 692 430 263

@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @joackagrovet @joackbagamoyo @joackanimalclinic @joackmachinery @joackanimalfeeds

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

JOACK tunakuletea Maize Sheller Machine yenye ubora wa hali ya juu kwa ajili ya kupukuchua mahindi kwa haraka na ufanisi mkubwa.

SIFA ZA BIDHAA
β€’ Uwezo wa kupukuchua tani 1 kwa saa
β€’ Inatumia Petrol
β€’ Rahisi kutumia
β€’ Imara na ya kudumu
β€’ Hupunguza upotevu wa mazao
β€’ Inafaa kwa matumizi ya biashara na mashamba

INAFAA KWA:
β€’ Wakulima wa mahindi
β€’ Vikundi vya wakulima
β€’ Biashara za mazao
β€’ Mashamba ya ukubwa wa kati na makubwa

FAIDA ZA KUTUMIA
β€’ Huokoa muda na nguvu kazi
β€’ Huongeza kasi ya usindikaji wa mahindi
β€’ Hupunguza gharama za uvunaji
β€’ Huongeza ufanisi wa uzalishaji

HUDUMA ZETU
β€’ Tunatuma mizigo mikoa yote Tanzania
β€’ Ushauri wa kitaalamu bure
β€’ Bidhaa zenye ubora wa juu

TUNAPATIKANA

1. Wazohill - Dar es Salaam
Tegeta Wazohill Barabara ya Wazo, karibu na kanisa la KKKT
maps.app.goo.gl/PsgwecjBYjpd4cow9?g_st=ac

2. Bagamoyo - Pwani
Kiromo shule, Bagamoyo Pwani
maps.app.goo.gl/atyhxFJkqzY8EzHa8?g_st=ac

3. Posta - Dar es Salaam
Matasalamat building NHC Samora Avenue 2nd floor
maps.app.goo.gl/cMRwKkfKD6H1Ub4W9?g_st=ac

EMAIL:
info@joack.co.tz

Website link:
joack.co.tz/

JOACK COMPANY LTD
Your Trusted Partner in Agriculture & Livestock Solutions

🚚 TUNATUMA MIZIGO MIKOA YOTE TANZANIA KWA UAMINIFU MKUBWA

#maizesheller #mashineyakupukuchuamahindi #mahindi #cornsheller #kilimo joackmachinery agribusiness tanzania farmmachinery wakulima

1 week ago | [YT] | 6

Mifugo Tanzania

⚑ JOACK MACHINERY ⚑

PURE COPPER ELECTRIC MOTORS

0.5HP – 100HP+

SINGLE PHASE & THREE PHASE

SIMU:
+255 712 253 102 (WhatsApp)
+255 692 430 263

@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @mabandayamifugo @joackmachinery @joackagrovet @joackbagamoyo @joackanimalclinic @joackanimalfeeds

Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

JOACK tunauza mota za umeme zenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi mbalimbali.

INAFAA KWA:

β€’ Water Pumps
β€’ Mashine za Kilimo
β€’ Viwandani
β€’ Workshop
β€’ Mashine za Kuchakata
β€’ Biashara Mbalimbali

SIZE ZILIZOPO

β€’ HP 0.5
β€’ HP 0.75
β€’ HP 1
β€’ HP 1.5
β€’ HP 2
β€’ Hadi HP 100+ na kuendelea

AINA ZILIZOPO

β€’ Single Phase Motors
β€’ Three Phase Motors

SIFA ZA MOTA ZETU

β€’ Pure Copper Winding
β€’ Heavy Duty
β€’ Zinadumu muda mrefu
β€’ Nguvu kubwa ya kazi
β€’ Zinatumia umeme kwa ufanisi
β€’ Ubora wa hali ya juu

COUNTRY OF ORIGIN

β€’ China
β€’ India

HUDUMA ZETU

β€’ Tunatuma mizigo mikoa yote Tanzania
β€’ Ushauri wa kitaalamu bure
β€’ Bidhaa zenye ubora wa juu
β€’ Huduma ya haraka

TUNAPATIKANA

β€’ Wazo Hill – Dar es Salaam
β€’ Kiromo – Bagamoyo
β€’ Posta Matasalamat – Dar es Salaam

EMAIL:
info@joack.co.tz

Website:
joack.co.tz/

JOACK COMPANY LTD

Your Trusted Partner in Agriculture & Livestock Solutions

#ElectricMotor #PureCopperMotor #HeavyDutyMotor #IndustrialMotor #SinglePhaseMotor #ThreePhaseMotor #MotorZaUmeme #MachineryTanzania #WaterPumpMotor #AgricultureMachinery #JoackMachinery

1 week ago | [YT] | 0