Morocco wametangazwa kuwa washindi wa AFCON 2025 • Baada ya maamuzi ya CAF kuwavua Senegal taji kwa sababu ya kuondoka uwanjani kwa maandamano wakati wa fainali 🤯🏆. • Senegal wametangazwa kuwa wamepoteza mchezo huo na Morocco wametangazwa washindi wa 3-0 kwa taarifa rasmi. • #afcon2025#morroco#senegal#africanfootball#lbmedia#sportedation
Jabu Swaleh
ALHAMDULILLAH 🤲🥹❤️
Kulikuwa na siku nilihisi kila kitu kimekwisha. Nililia, nilimuomba Allah kwa dua, nikasubiri kwa subira… na leo Allah amenijibu.
Channel yangu ya YouTube imerudi rasmi! 🙏🏻
Asanteni sana kwa wote mlionisimamia, mlionitia moyo na kuendelea kuniamini katika kipindi kigumu zaidi. Kurudi huku kuna maana kubwa sana kwangu.
Hii siyo channel iliyorejeshwa tu,
ni nafasi ya pili.
Ni mwanzo mpya.
“Hakika pamoja na ugumu upo wepesi.” 🤍
#Alhamdulillah #Jabranee_tz #LBMediaTZA #TheComeback
3 weeks ago (edited) | [YT] | 15
View 0 replies
Jabu Swaleh
Hapo vipi???
•
https://youtu.be/T7QCxv1CXXo?si=P2QLz...
•
#simbatanzania #yangasc #wataniwajadi
2 months ago (edited) | [YT] | 18
View 0 replies
Jabu Swaleh
NAOMBA ANGALIA UCHAMBUZI KUHUSU JERAHA ALILOPATA YAMAL NA UWEZEKANO WA KUTOCHEZA KOMBE LA DUNIA
https://youtu.be/T7QCxv1CXXo?si=WKH5n...
2 months ago | [YT] | 2
View 0 replies
Jabu Swaleh
IDD MUBARAK WAFATILIAJI WA @IamJabranee
3 months ago (edited) | [YT] | 21
View 1 reply
Jabu Swaleh
Morocco wametangazwa kuwa washindi wa AFCON 2025
•
Baada ya maamuzi ya CAF kuwavua Senegal taji kwa sababu ya kuondoka uwanjani kwa maandamano wakati wa fainali 🤯🏆.
•
Senegal wametangazwa kuwa wamepoteza mchezo huo na Morocco wametangazwa washindi wa 3-0 kwa taarifa rasmi.
•
#afcon2025 #morroco #senegal #africanfootball #lbmedia #sportedation
3 months ago | [YT] | 15
View 18 replies
Jabu Swaleh
Depu amecheguliwa kuwa mchezaji Bora wa mwezi February.
•
Na izi ndio ni Takrimu zake katika mwezi huo.
3 months ago | [YT] | 35
View 0 replies